Waafrika wanavyobaguliwa India

Share it:

 Waafrika wanaoishi ndani na nje ya mji mkubwa zaidi 
             wa kibiashara nchini India, Mumbai (Bombay), wanalalamika
             kuhusu ubaguzi wa rangi na polisi kuwanyanyasa kila mara.

                           Sambo Davis ni raia wa Nigeria ambaye amemuoa mwanamke wa kihindi na wanaishi naye mjini Mumbai.Stakabadhi zake zote ni halali lakini alikamatwa na polisi hivi karibuni baada ya kushukiwa kuhusika na bishara za mihadarati.
Yeye pamoja na waafrika wengine 30, walizuiliwa kwa masaa mengi kabla ya kuachiliwa na kuombwa msamaha.
Lakini siku iliyofuata, bwana Davis alisema kuwa alishtushwa sana kusoma kwenye magazeti kuwa walikuwa wamekematwa kwa kuhusika na biashara haramu ya mihadarati.
Share it:

Unknown

No Related Post Found

Post A Comment:

0 comments:

Also Read

Mpiga tarumbeta wa Bob Marley, afariki

Mpiga tarumbeta Headley Bennett, ambaye alishiriki katika wimbo wa kwanza wa mwanamuziki maarufu wa nyimbo za rege Bob M

Anonymous