Federer ajipanga kwa michuano ya wazi ya Australia

Share it:

Mcheza tenisi na bingwa mara 17 wa Grand Slam Roger Federer amepanga kujiweka sawa kwa ajili ya michuano ijayo ya wazi ya Australia baada ya kupata jeraha lilompata katika nusu ya msimu wake wa mwaka 2016.
Federer mwenye umri wa miaka 35 alikua nje ya uwanja tangu mwezi Julai na mechi yake ya mwisho ilikua katika michuano ya nusu fainali ya Wimbeledon ambapo alishindwa na Milos Raonic.
Alifanyiwa upasuaji mwezi wa pili kabla ya tatizo la mgongo lililomuondoa katika michuano ya wazi ya Ufaransa.

Share it:

sports

Post A Comment:

0 comments: